Social Icons

Friday, November 16, 2012

Mwana chama wa MNH Mariam Thomas kafiwa na Baba yake Mzazi.

Wana MNH, Jamani mwana chama mwenzetu MARIAM THOMAS amefiwa na Baba yake usiku wa kuamkia leo,
Hii ni siku ya majonzi kwetu na huu ni msiba wetu sote wana MNH.

Tuwe pamoja kwenye shida na Raha na hii ni sehemu moja wapo ya kutoa msaada na vile vile kuiliwaza familia nzima ya MARIAM THOMAS.
Mwili wa marehem umehifadhiwa kwenye hospitali ya rufaa ya Bugando.

kwa ujumla tujitahidi kumliwaza mwenzetu/ ndugu yetu katika wakati huu mgumu wa kuondokewa na Baba yake mzazi.
                     Afisa Habari MNH ♥ Issa Dody ♥

0 Maoni yako:

Post a Comment