Social Icons

Sunday, November 18, 2012

Ifuatayo ni habari fupi ya mazishi ya Mzazi wa mwanachama mwenzetu.

Ilikuwa ni huzuni kubwa kwa familia ya MARIAM THOMAS baada ya kuondokewa na Baba yake Mzazi.
Vile vile ni pigo kubwa kwa wana chama wote wa MNH

  Mwili wa marehem ulikuwa tayari kwaajili ya kuhifadhiwa katika nyumba ya milele.
 Baada ya mwili wa marehemu kuhifadhiwa na mashada kuwekwa na familia husika pamoja na watu wa karibu, watu walikusanyika kwaajili ya kufanya maombi ya mwisho.

Hii ni hali iliyo pelekea kipenzi wetu Mariam Thomas aliye fikwa na msiba kupoteza fahamu baada ya baba yake kipenzi kuhifadhiwa katika makaburi ya Misungwi.
MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEM MAHALI PEMA PEPONI {amina}
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA...

0 Maoni yako:

Post a Comment