Ilikuwa ni huzuni kubwa kwa familia ya MARIAM THOMAS baada ya kuondokewa na Baba yake Mzazi.
Vile vile ni pigo kubwa kwa wana chama wote wa MNH
Vile vile ni pigo kubwa kwa wana chama wote wa MNH
Mwili wa marehem ulikuwa tayari kwaajili ya kuhifadhiwa katika nyumba ya milele.
Baada ya mwili wa marehemu kuhifadhiwa na mashada kuwekwa na familia husika pamoja na watu wa karibu, watu walikusanyika kwaajili ya kufanya maombi ya mwisho.
MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEM MAHALI PEMA PEPONI {amina}
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA...
0 Maoni yako:
Post a Comment